Promo hii iko wazi kwa wateja wote wa BongoBongo, wachezaji wapya na wa zamani.
Lazima uwe na umri wa miaka 18 au zaidi.
Vigezo vya Kushiriki: Weka Pesa na ucheze kwa dau kuanzia TZS 100 au zaidi kwenye michezo iliyochaguliwa ili kufuzu kushiriki kwenye droo ya zawadi
Jinsi Nafasi za Kushiriki: Baada ya kufuzu, wachezaji hupata nafasi za kushiriki kulingana na kiasi walichocheza (dau). Kadri unavyoweka dau zaidi, ndivyo unavyopata nafasi nyingi zaidi, na kuongeza uwezekano wako wa kushinda
TZS 100 uliyobeti → Ingizo 1`
TZS 500 staked → Maingizo 5
Masharti ya kufuzu: Kiwango cha chini cha Pesa na Kubeti ni TZS 4,000 (kwa jumla).
Muda wa shindano unaanza tarehe 6 Julai 2026 saa 00:00 na kuisha tarehe 2 Agosti 2026 saa 23:59 kwa muda wa nchini.
Ili kushiriki kwenye droo ya kila mwezi, ni lazima uwe umeweka pesa na kucheza mabeti yanayokubalika kati ya 6 Julai 2026 saa 00:00 na 2 Agosti 2026 saa 23:59.
Mabeti yote yanayoshiriki lazima yawe yamekamilika (yawe yameshinda au yameshindikana) ili yahesabiwe kwenye droo.
Mshindi atatangazwa tarehe 3 Agosti 2026 kupitia matangazo ya moja kwa moja (live) na chapisho kwenye ukurasa rasmi wa Facebook wa BongoBongo.
Zawadi ni Boda Boda Boxer 125 + TZS 1,500,000 Vicha ya Mafuta + Seti Ya Usalama.
Beti zote zinazohesabiwa lazima ziwe (zimeshinda au zimepotea) ili kuhesabiwa kwenye droo.
Picha za zawadi zinazoonyeshwa kwenye tovuti na mitandao ya kijamii ni za mfano tu. Rangi na ukubwa halisi wa zawadi vinaweza kutofautiana.
Washindi wa zawadi za bidhaa wanaweza kuhitajika kuchukua zawadi zao katika ofisi ya BongoBongo, ikiwa wako Dar es Salaam.
Washindi (au wawakilishi wao) wanaweza kuombwa kupigwa picha au kutoa ushuhuda (testimonial) kwa madhumuni ya promosheni wakati wa kupokea zawadi.
Washindi lazima waonyeshe Kitambulisho halali cha Taifa au Leseni ya Udereva kinacholingana na namba ya simu iliyosajiliwa kwenye akaunti ya BongoBongo.
Zawadi haziwezi kuhamishwa kwa mtu mwingine na haziwezi kubadilishwa kuwa fedha taslimu isipokuwa kama imeelezwa tofauti.
Udanganyifu, matumizi mabaya au shughuli zisizo za kawaida za kubeti zinaweza kusababisha kuondolewa kwenye promosheni.
BongoBongo ina haki ya kubadilisha, kurekebisha, kusitisha au kufuta promosheni na sheria zake wakati wowote.